sw_tn/1co/16/21.md

362 B

Mimi, Paulo, naandika hivi kwa mkono wangu

Paulo alikuwa anaweka wazi kuwa maelekezo katika ile ya barua alitoka kwake, ingawa Paulo alikuwa akisema na matendakazi mwenza aliandika yale maneno yake. Sehemu ya mwisho wa barua Paulo akaiandika kwa mko wake mwenyewe.

laana iwe juu yake.

"Mungu anaweza kumlaani" angalia tafasiri ya neno laana katika 12:1