sw_tn/1co/15/01.md

450 B

Sentensi Unganishi

Paulo anawakumbusha kuwa ni Injili inayowaokoa na tena anawaeleza Injili ni kitu gani. Kisha anatoa somo fupi la historia kuelezea yatakayotokea hapo baadaye.

Ninawakumbusha

"kuwasaidia ninyi kukumbuka"

kusimama kwayo

Paulo anazungumzia habari ya Wakorintho akiwafananisha na nyumba, na Injili anaifananisha na msingi unaobeba hiyo nyumba

mmeokolewa

Hii inaweza kuelezewa katika muundo tendaji "Mungu atawaokoa"