sw_tn/1co/12/01.md

710 B

Sentensi Uganishi

Paulo anawafahamisha kuwa Mungu ametoa karama maalumu kwa waumini. Karama hizi ni kwa ajili ya kuusaidia mwili wa waumini.

Sitaki mkose kufahamu

"Ninataka mfahamu"

mlipotoshwa kufuata sanamu zisizoongea

ikielezwa kwa muundo tendaji: "mliamini uongo na mlibudu sanamu zisizoongea"

kwa njia zozote mliongozwa nazo

ikielezwa kwa muundo tendaji:" na ziliwaongoza kwa namna nyingi"

hakuna yeyote anenaye kwa Roho wa Mungu awezaye kusema

maana zinazowezekana ni 1) "hakuna Mkristo ambaye ana Roho wa Mungu ndani yake, awezaye kusema," au 2) "hakuna atoaye unabii kwa nguvu ya Roho wa Mungu awezaye kusema."

Yesu amelaaniwa.

" Mungu atamwadhibu Yesu" au Mungu atamtesa Yesu"