sw_tn/1co/11/25.md

517 B

kikombe

Hapa inaweza kumaanisha 1) kikombe cha divai ambacho ambacho kilitegemewa akitumie 2) kikombe cha tatu au cha nne miongoni mwa vikombe vinne ambavyo Wayahudi walitumia kunywa divai wakati wa mlo wa Pasaka.

Fanyeni hivi mara nyingi kila mywapo

"Kunyweni kutoka katika kikombe hiki, na kila mara mnapokunywa kitumieni"

mwaitangaza mauti ya Bwana

fundisheni kuhusu kusulubishwa na ufufuo

mpaka atakapokuja

Yesu atakaporudi itasemwa wazi. Kwa maneno mengine " mpaka Yesu atakaporudi tena duniani"