sw_tn/1co/11/17.md

998 B

Sentensi Unganishi

Paulo anapozungumzia ushirika mtakatifu, nawakumbusha kuwa na umoja na tabia njema. Anawakumbusha kuwa wakikosa umoja na tabia njema wakati wa ushirika wataugua na kufa, kama ambayo imekwisha tokea kwa baadhi yao.

atika maagizo yafuatayo, mimi siwasifu

Hapa inaweza kumaanisha "ninapotoa maelekezo haya, kunajambo ambalo siwezi kuwasifia"

maagizo

" maelekezo" au "taratibu (sera)"

mnapokusanyika

" kusanyika pamoja"

sio kwa faida bali kwa hasara

" hamsaidiani badala yake mnaumizana"

kanisani

Paulo hazungumzii kuingia ndani ya jengo bali anazungumzia "waumini"

kuna migawanyiko kati yenu

" mnagawanyika wenyewe katika makundi"

ili kwamba wale waliokubaliwa wajulikane kwenu.

Maana zinazokubalika 1) "ili kwamba watu wajue waumini wanao heshimiwa zaidi kati yenu" au 2) "ili kwamba watu waonyeshe kuwakubali waumini fulani kati yenu."

wale waliokubaliwa

Hapa inaweza kumaanisha1) "walinakubaliwa na Mungu" au 2) " ambao kanisa linawakubali"