sw_tn/1co/04/12.md

345 B

Tunapodharauliwa, tunabariki

"Wakati watu wanapotudharau, sisi tunawabariki."

Dharau

"Beza"inawezekana "onea" au "laani"

Tunapoteswa

"Wakati watu wanapotutesa"

Tunapokashifiwa

"Wakati watu wanatukashifu"

Tumekwisha kuwa,na tunasubiriwa kuwa, kukataliwa na dunia

"Tumekuwa, na watu bado wanatusubiri kuwa, takataka za dunia."