forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
826 B
Markdown
21 lines
826 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Paulo anatumia msemo wa kejeli ili kuwafanya Wakorintho waone aibu na kutambua kuwa walikuwa wakitenda dhambi walipojisifu wenyewe pamoja na kuwasifia walimu wao.
|
|
|
|
# Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
|
|
|
|
Paulo anaeleza njia mbili jinsi Mungu amekwisha weka mitume kwa kuonyesha wazi kwa ulimwengu uone
|
|
|
|
# ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha
|
|
|
|
Mungu ameonyesha wazi mitume kama tu wafungwa wakti wa mwisho wa gwaride la jeshi la Kirumi,ambao tunaabishwa mbele ya kutekeleza kwao.
|
|
|
|
# kama watu waliohukumiwa kuuawa
|
|
|
|
Mungu ameweka mitume kuonyesha wazi kama watu waliotayari kutekelezwa.
|
|
|
|
# kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu
|
|
|
|
Neno "ulimwengu" ni jumla ya viumbe vya kiroho (malaika) na viumbe vya asili (wanadamu). kwa hiyo anataja vitu vitatu: kwa ulimwengu, kwa malaika, na kwa wanadamu
|
|
|