sw_tn/1co/03/14.md

507 B

Maelezo ya Jumla

Maneno "mtu" , "chochote mtu" "yeye" na " yeye mwenyewe" yanahusiana na washirika( waumini)

kitabaki

"Salia" au "kubakia"

Kama kazi ya mtu itateketea

"Kama moto utaharibu kazi ya mtu yeyote" au "Kama moto utahapoteza kazi ya mtu yeyote."

Yeyote...yeye...mwenyewe

Haya maneno yanaonyesha "mtu""mtu" au "yeye"

Atapata hasara.Lakini yeye mwenyewe ataokolewa

"Atapoteza kazi ile na tuzo yoyote anaweza kupata kama kazi ile itastahimili katika moto, lakini Mungu atamwokoa."