sw_tn/1co/03/06.md

709 B

Nilipanda

Ufahamu wa neno la Mungu unalinganishwa na mbegu ambayo lazima iwe imepandwa ili istawi

akatia maji

Kama vile mbegu huhitaji maji,imani inahitaji mafundisho zaidi ili iweze kukua.

Kukua

Kama mmea hukua na kuendelea,pia imani na ufahamu katika Mungu hukua nakuwa na kuwa na kina na uimara.

Kwa hiyo, si aliye panda ... anachochote. Lakini ni Mungu anayekuza.

Paulo anaeleza kwamba si yeye wala Apolo aliye nawajibu kwa ajili yakukua kiroho kwa wakristo, lakini ni utendajiwa Mungu.

anayekuza.

Paulo anaelezea kwa kielelezo cha ukuaji wa miti kuhusu ukuaji wa imani ya Wakoritho. : Anawezasha miti kukua" au " Mungu huwawezesha wakristo kumfahamu na kumjua Yeye kwa undani"