sw_tn/1co/02/14.md

603 B

Maelezo ya jumla

hapa neno "sisi" linajumuisha Paulo pamoja hadhira (watu anaowaandikia)

Mtu si wa kiroho

Mtu asiye mkristo,ambaye bado hajapokea Roho Mtakatifu.

yanatambuliwa kiroho.

"Kwa sababu kufahamu mambo haya kuanatokana na msaada wa Roho"

Kwa yule wa kiroho

"Muumini, aliyepokea Roho"

Ni nani anaweza kuyajua mawazo ya Bwana, ambaye anaweza kumfundisha yeye?

Paulo alitumia hili swali kufafanua kwamba hakuna yeyote ajuaye mawazo ya Bwana. "Hakuna yeyote anaweza kujua mawazo ya Bwana.Hivyo hakuna yeyote anaweza kumfundisha Bwana kitu chochote ambacho hakukifahamu kabla."