sw_tn/zep/03/01.md

199 B

Hakuisikiliza sauti ya Mungu

Watu wa Yerusalemu hawakutii ambacho Mungu alikuwa nacho kwa mitume wake chakuwafundisha.

na hawatamkaribia Mungu wao

Watu hawakutamani kumwabudu na kumtii Mungu.