sw_tn/zep/01/12.md

209 B

Nitaichungua Yerusalemu kwa taa

Hakuna hata mmoja atakayeweza kujificha kutoka kwa Mungu.

makazi kwenye mvinyo yao

Watajisikia salama kutoka kwenye shida

na kusema moyoni mwao

Watasema kwa uhakika