sw_tn/zec/13/04.md

645 B

kwamba kila nabii

Inawahusu manabii wa uongo siyo manabii wa Yahwe.

hawatavaa tena vazi la singa

"vazi" linalotajwa hapa ni lile zito la nje. Lililotengenezwa kwa manyoya ya wanyama lililovaliwa na manabii.

kuilima ardhi

Hili ni "shamba"

ardhi ndiyo kazi yangu tangu ujana wangu

Baadhi ya matoleo ya kisasa yanafasiri sehemu hii kama "mtu alinipata tangu ujana wangu," yaani, kumpata kama mtumishi.

Majeraha haya katika mikono yako ni nini?

"Ulipataje majeraha hayo katika kifua chako? hii inamaanisha kwa desturi ya kawaida kwa manabii wa uongo kujidhuru wenyewe katika sherehe zao.

atajibu

Hii ni , atajibu kwa uongo.