sw_tn/zec/13/03.md

12 lines
217 B
Markdown

# baba yake na mama yake waliomzaa
Kifungu "waliomzaa" kinaelezea "baba yake na mama yake" ili kuonesha mshangao kwamba wazazi wangemtendea hivi mwanao.
# Hautaishi
Lazima ufe"
# watamchoma
Kumchoma ili kumwua."