sw_tn/zec/12/10.md

652 B

nitamwaga roho ya huruma na kuiombea

"Nitawapa watu roho ya rehema kwa wengine na kuniombwa rehema"

waliyemchoma

"waliyemwua kwa mchoma"

maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni

Hadadi Rimoni yaweza kuwa ni sehemu ambapo Mfalme mwema Yosia alikufa vitani baada ya kujeruhiwa katika Vita ya Megido. Inaonekana kwamba baadaya yalitokea mapokeo ya kuomboleza kwa ajili ya kifo chake pale. Baadhi ya watu, lakini wanafikiri kwamba Hadadi Rimoni ililikuwa jina la mungu wa uongo aliyeaminiwa kufa kila mwaka, tukio ambalo wafuasi wake wangekwenda kumwombolezea.

Megido

Hili ni jina la tambarare katika Israeli.