sw_tn/zec/11/04.md

671 B

Maelezo ya Jumla:

Hapa Yahwe anaanza kutoa maelekezo kwa Zakaria katika muundo wa mfano kuhusu wachungaji na kondoo.

wenyeji wa nchi

"watu wa nchi"

hivi ndivyo asemavyo Yahwe

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.

kumwelekeza kila mtu katika mkono wa jirani yake

"kumfanya kila mtu kutawaliwa na mtu mwingine"

katika mkono wa mfalme wake

"katika utawala usio wa haki wa mfalme wake"

wataiharibu nchi

"hawatakuwa na huruma juu ya watu wa nchi"

hakuna hata mmoja wao nitakayemwokoa kutoka katika mkono wao

"lakini sitawaokoa watu wa Yuda kutoka katika nguvu zao"