sw_tn/zec/10/11.md

563 B

Nitapita katika bahari ya mateso yao

Maandiko mara nyingi urejerea bahari kama picha ya shida na magumu mengi.

na nitavikausha vilindi vyote vya Nile

"Nitaufanya Mto Nile kukauka"

Utukufu wa Ashuru utashushwa chini

Hapa "utukufu wa Ashuru" pengine unamaanisha jeshi la Ashuru.

na fimbo ya Misri itakwenda mbali kutoka kwa Wamisri

"na nguvu ya Misri kutawala mataifa mengine itakwisha."

hili ni tamko la Yahwe wa majeshi

Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.