sw_tn/zec/10/01.md

401 B

Maelezo ya Jumla:

Zakaria anaenelea kuongea na watu.

hufanya mvua ya miunguromo na dhoruba

"hufanya mawingu ya dhoruba"

sanamu uongea kwa uongo

"sanamu zinatoa ujumbe wa uongo"

waganga hunena uongo

"waganga wanaona maono ya uongo"

wanasema ndoto za udanganyifu

"waganga wanasema uongo kuhusu ndoto zao ili kuwadanganya watu"

wanapotea kama kondoo

"watu hawajui njia ya kufuata"