sw_tn/zec/09/16.md

436 B

Maelezo ya Jumla:

Zakaria anaendelea kuongea na watu.

Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo

"katika nchi yetu watakuwa kama mawe mazuri katika taji"

vijana watastawi juu ya nafaka

Vijana wataishi kwa chakula wanachopata kutoka katika mavuno.

na bikra juu ya divai tamu

Mabinti watafurahia mvinyo mpya. Hizi ni rejea kwa vijana wa kiume na kike wakiwakilisha hesabu ya watu wote wa Israeli