1.2 KiB
Maelezo ya Jumla:
Sehemu hii ya unabii inaendelea na maneno ya Hosea, badala ya maneno ya Yahwe yaliyonenwa kupitia kwake.
Ataonekana kwao
Neno "wao" linamaanisha watu wa Mungu. Yaweza pia kuwa "taonekana angani kwa watu wake" au "atakuja kwa watu wake"
tapiga kelele kama radi
Wakati mwingine Waisraeli walidhani miale ya radi kama mishale aliyopiga Mungu.
piga tarumbeta
Tarumbeta ilikuwa ni pembe ya kondoo. Watu waliipuliza kama ishara ya vita au matukio mengine.
ataendelea na dhuruba kutoka Temani
Wakati mwingine Waisraeli walifikiri kwamba Mungu alikuwa akisafiri kwa upepo wa tufani utokao kusini.
atararua
"kushinda kabisa"
kuyashinda mawe ya kombeo
Waisraeli watawashinda askari wanaopigana kwa kutumia kombeo. Askari hawa wanawakilisha adui wote wa Israeli, haijarishi silaha walizonazo.
Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo
"Watapiga kelele na kusherehekea ushindi wao kwa kelele kama walikuwa wamelewa."
watajazwa kwa mvinyo kama mabakuli
Pengine inamaanisha mabakuli makuhani waliyotumia kubeba damu ya mnyama katika madhabahu.
kama pembe za madhabahu
Madhabahu zilikuwa na pembe damu zilipokusanywa.