sw_tn/zec/07/11.md

297 B

wakashupaza mabega yao

"walikuwa kama ng'ombe wanaokataa kuwekewa nira" au "walikuwa kama ng'ombe aliyekataa kutii"

waliziba masikio yao

"walikataa kusikia"

waliifanya migumu mioyo yao kama mwamba

"Walikataa kutii ujumbe wa Yahwe"

kwa kinywa cha manabii

"kupitia maneno ya manabii"