sw_tn/zec/07/01.md

743 B

Mfalme Dario alipokuwa mfalme kwa miaka nne.

"katika mwaka wa nne tangu Dario awe mfalme"

siku ya nne ya mwezi wa Kisleu(ndio mwezi wa tisa)

"Kisileu" ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya nne ni sawa na mwishoni mwa Novemba katika kalenda ya sasa.

neno la Yahwe lilikuja

"Yahwe alinena neno lake"

Shareza na Regemu Meleki

Haya ni majina ya wanaume.

walisema, "je! niomboleze... miaka?

Neno "wale" linamrejerea Shareza na Regemu Meleki.

katika mwezi wa tano

Wayaudu walifunga wakati wa sehemu ya mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania kwa sababu huu ndio wakati Wababeli walipoliaribu hekalu la Yerusalemu. Mwezi wa tano ni wakati wa sehemu ya mwisho wa Julai na mwanzoni mwa Agosti katika kalenda ya sasa.