sw_tn/zec/01/18.md

239 B

Maelezo ya Jumla:

Zakaria anaendelea kuelezea ono lake

Niliinua macho yangu

Kifungu hiki kinamaanisha kuelekeza kichwa chako katika kutazama

pembe ziliyoitawanya Yuda

Hii inawakilisha majeshi yaliyowashambulia watu wa Israeli.