sw_tn/tit/03/04.md

494 B

wakati huruma wa Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana

Paulo anaongelea juu ya wema wa Mungu na Upendo wake kana kwamba walikuwa ni watu waliojitokeza mbele yetu.

kwa huruma yake

"Kwasababu alikuw na rehema juu yetu"

kutuosha kwa kuzaliwa upya

Paulo anazungumzia juu ya msamaha wa Mungu kwa wenye dhambi kwa kuufananisha na kitendo cha kuosha mwili wa mtu. Lakini pia, anaongelea juu ya wenye dhambi kuwa wasikivu mbele za Mungu kama wamezaliwa upya tena.