sw_tn/sng/06/08.md

791 B

Kuna malikia sitini, masuria themanini

Kuna malikia 60, masuria 80."

wanawake wadogo bila idadi

Maneno, "bila idadi" yamaanisha hakuna anaweza kuwahesabu. "maelfu ya wanawake wadogo"

Hua wangu, asiye na doa wangu

Ona jinsi ulivyo tafsiri "Hua wangu, asiye na doa wangu" 5:2

ni yeye pekee

"ni wa pekee" au "ni mmoja wa wachache." Mpenzi ana mtofautisha mwanamke na wanawake wengine. Japo kuwa kuna wanawake wema wengi, mwanamke ana simamawa kipekee miongoni mwa wote.

ni binti muhimu wa mama yake

"kwa mama yake ni binti maalumu" au "yeye ni binti wa mama yake ambaye ni wa kipekee"

mwanamke aliye mzaa

"mwanamke aliye mzaa." Haya maneno ya muongelea mama yake.

na kumuita mbarikiwa

"na kukiri kuwa mambo yamemuendea vizuri" au "kusema kuwa yeye alikuwa na bahati"