forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
723 B
Markdown
44 lines
723 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Sehemu ya Kwanza ya kitabu yaanza 1:2.
|
|
|
|
# Wimbo wa Nyimbo
|
|
|
|
"Wimbo ulio Bora" au Nyimbo iliyo Nzuri Sana"
|
|
|
|
# ambao ni wa Sulemani
|
|
|
|
"unao muhusu Sulemani" au "ambao aliutunga"
|
|
|
|
# mafuta yako ya upako
|
|
|
|
"Mafuta unayo paka mwilini mwako"
|
|
|
|
# yana manukato mazuri
|
|
|
|
"yanukia vizuri"
|
|
|
|
# jina lako ni kama marashi yaeleayo
|
|
|
|
Mwanamke anagundua kuwa mpenzi wake ana sifa nzuri. "jina lako ni zuri kama harufu ya mafuta mtu aliyo mimina
|
|
|
|
# Nichukuwe nawe
|
|
|
|
"Ni lete pamoja nawe." Neno "wewe" la husu mpenzi
|
|
|
|
# tutakimbia
|
|
|
|
Neno "tu" la husu mwanamke na mpenzi wake
|
|
|
|
# kuhusu wewe
|
|
|
|
"kwasababu yako"
|
|
|
|
# acha ni shereheke
|
|
|
|
"acha ni shereheke"
|
|
|
|
# Ni halisi kwa wanawake wengine kukupenda
|
|
|
|
"Wote wanao kupenda wako sahihi"
|