forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
373 B
Markdown
12 lines
373 B
Markdown
# Kwa mfano wa utii wenu mwamfikia kila mmoja
|
|
|
|
"Wakati mnapomtii Yesu kila mmoja husikia hivyo"
|
|
|
|
# Mungu wa amani hatakawia kumwangamiza Shetani chini ya nyayo zenu
|
|
|
|
Kivumishi "kumwangamiza chini ya nyayo" kinafafanua ushindi kamili juu ya adui. "Mungu hatakawia kukupa amani ya ushindi kamili dhidi ya Shetani"
|
|
|
|
# bila hatia mbele ya uovu
|
|
|
|
"Bila kuchanganywa katika uovu"
|