Urbano...Stakisi...Apele...Aristobulo...Herodioni... waliokubaliwa katika Kristo
Haya ni majina wa wanaume.
kukubaliwa katika Kristo
neno "kukubaliwa" linamaanisha kwamba mtu amejaribiwa na kuthibitishwa kuwa mkweli.
walio katika Bwana
hii inamaanisha wale wote walioweka tumaini katika Yesu.