sw_tn/rom/16/09.md

304 B

Urbano...Stakisi...Apele...Aristobulo...Herodioni... waliokubaliwa katika Kristo

Haya ni majina wa wanaume.

kukubaliwa katika Kristo

neno "kukubaliwa" linamaanisha kwamba mtu amejaribiwa na kuthibitishwa kuwa mkweli.

walio katika Bwana

hii inamaanisha wale wote walioweka tumaini katika Yesu.