sw_tn/rom/14/22.md

850 B

Hizi imani ambazo mlizo nazo

Hii inamaanisha imani juu ya vyakula na vinywaji

Wewe mwenyewe

U- moja kwa sababu Paulo anawambia waamini, unaweza kutumia tafsiri ya u-wingi.

wamebarikiwa wale jihukumu katika jambo ambalo anathibitika

"Wamebalikiwa watu ambao hawawezi kuhisi hatia kwa yale wanayo kusudia kufanya"

Ambaye anamashaka amehukumiwa ikiwa atakula

"Mungu atasema kwamba mtu hufanya vibaya ikiwa hana uhakika kama ni sawa kula chakula fulani, lakini hatahivyo anakula" au "Mtu ambaye hana uhakika kama ni sawa kula chakula fulani na anakula atakuwa na shida katika dhamiri"

Kwa sababu haitokani na imani

"Mungu atasema kuwa ni vibaya kwa sababu anakula kitu amabacho anaamini Mungu hataki ale"

Jambo lolote lisilotokana na imani ni dhambi

Unafanya dhambi ikiwa unafanya jambo ambalo huamini kuwa Mungu anataka ulifanye"