sw_tn/rom/14/16.md

640 B

Usifanye matendo yako mema yakasababisha watu kuwadhihaki

"Usifanye mambo, hatakama unadhani mambo hayo kuwa ni mazuri, ikiwa kama watu watasema ni mabaya"

Matendo yako mema

Hii inamaanisha matendo ya watu ambao ni imara katika imani.

Watu

Maana zaweza kuwa 1. waamini wengine, au 2. wasio amini.

Kwa kuwa ufalme wa Mungu siyo juu ya chakula na vinywaji, bali kwaajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu

"Kwa kuwa Mungu hakuandaa ufalme wake ili aweze kutawala kile tunacho weza kula na kunywa. aliandaa ufalme wake ili kwamba tuweze kuwa na mahusiano na yeye na Roho Mtakatifu aweze kutupatia amani na furaha"