sw_tn/rom/12/06.md

462 B

Tuna zawadi mbalimbali kufuatana na neema tuliyopewa

"Mungu ammempa kila mmoja wetu uwezo wa kufanya vitu tofauti kwa ajili yake"

Itendeke kwa kadiri ya imani yake

Inaweza kuwa na maana kuwa 1) "atoe unabii ambao hautazidi kiwango cha imani amabyo Mungu ametupa" au 2) "Aseme unabii unaokubaliana na mafundisho ya imani yetu."

Kama zawadi ya mtu ni kutoa

Maana inaweza kuwekwa wazi. "Ikiwa matu ana zawadi ya kutoa pesa au kitu chochote kwa wahitaji"