sw_tn/rom/11/15.md

875 B

Kwao

Hii inawaelezea Wayahudi wasioamini

Dunia

Hii inamaanisha watu wa duniani.

kupokelewa kwao kutakuwaje ila uhai toka kwa wafu?

"Hivyo basi, Mungu atawapokea vipi wakimwamini Kristo? Itakuwa kama wamekuja tena kwenye uhai toka kwenye kifo"

Kama matunda ya kwanza ni takatifu, hivyo ni bonge la unga.

Paulo anamfananisha Ibrahimu, Isaka na Yakobo, mababu wa Israeli na ngano ya kwanza kuvunwa, na Waisraeli ambao ni uzao wa wanaume hao ni unga unaotokana na ngano itakayovunwa baadae.

Kama mizizi ni takatifu, vivyo hivyo na matawi

Paulo anamfananisha Ibrahimu, Isaka na Yakobo, mababu wa Israeli na mizizi ya mti, na Waisraeli ambao ni uzao wa wanaume hao kama matawi ya miti.

Takatifu

Mazao ya kwanza kuvunwa daima yanakuwaga "matakatifu" hii ni, yameachwa kwa ajili ya Mungu. Hapa "mazao ya kwanza" yanasimama kwa watu wa kwanza kumuamini Kristo.