forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
786 B
Markdown
36 lines
786 B
Markdown
# Lakini inasema nini?
|
|
|
|
Neno "ina" urejea kwa "haki"
|
|
|
|
# Neno liko karibu nawe
|
|
|
|
"Ujumbe uko wapi"
|
|
|
|
# katika mdomo wako
|
|
|
|
Neno "mdomo" urejea kwa kile mtu husema. Tofasiri mbadala: "kiko katika kile usemacho"
|
|
|
|
# na katika moyo wako
|
|
|
|
Neno "moyo" urejea kwa akili ya mty au kile ufikiria. Tofasiri mbandala: "na kiko katika kile unachofikiri"
|
|
|
|
# kama kwa mdomo wako unatambua Yesu kuwa Bwana
|
|
|
|
'kama unakiri kwamba Yesu ni Bwana"
|
|
|
|
# amini katika moyo wako
|
|
|
|
"kubali kuwa ni kweli"
|
|
|
|
# alimfufua yeye kutoka kwenye mauti
|
|
|
|
Hapa ina maanisha kwamba Mungu alimsababisha Yesu kuwa hai tena
|
|
|
|
# utaokolewa
|
|
|
|
"Mungu atakuokoa"
|
|
|
|
# Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini kwa haki, na kwa kinywa hukiri wokovu
|
|
|
|
"Ni kwa akili kwamba mtu husadiki na kuwa mbele za Mungu, na ni kwa kinywa mtu hukiri na Mungu umuokoa"
|