sw_tn/rom/09/17.md

443 B

Kwa kuwa maandiko husema

Hapa andiko limefanyika nafsi hai kama Mungu anazungumza na Farao. "Maandiko hutunza kumbukumbu kwa Mungu kusema"

Mimi...changu

Mungu anarejesha kwake mwenyewe.

wewe

umoja

na ili kwamba jina langu litangazwe katika inchi yote.

"na kwamba watu waweze kulitangaza jina langu katika inchi yote"

na yeye ambaye apendaye, humfanya kuwa mgumu wa moyo.

Mungu humfanya mgumu wa moyo yule apandaye kumfanya.