sw_tn/rom/09/06.md

582 B

Sentensi unganishi:

Paulo anasisitiza kwamba wale waliozaliwa katika familia ya Israeli wanaweza kwa kweli kuwa sehemu ya Israeli kupitia imani.

Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia

"Lakini Mungu hajashindwa kutimiza ahadi zake"

Kwa kuwa si kila mtu aliye Israeli ni mwiisraeli halisi.

Mungu hakuzifanya ahadi zake kwa uzao wote kimwili wa israeli (au Yakobo), lakini kwa uzao wake wa kiroho, kwamba, wale walio na imani katika Yesu.

Si wote ni uzao wa Ibrahihim ni watoto wake hilisi.

"Wala si kwamba ni wana wa Mungu kwa sababu ni wazao wa Ibrahimu"