sw_tn/rom/08/16.md

354 B

warithi wa Mungu kwa upande mmoja. Na warithi pamoja na Kristo kwa upande mwingine

Vipande vya sentensi "kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" hutambulisha njia mbili tofauti za kufikiri kuhusu jambo fulani. "warithi wa Mungu na pia warithi pamoja na Kristo"

kwamba pia tuweze kupewa utukufu pamoja naye

"kwamba atatutukuza sisi pamoja naye"