sw_tn/rom/07/24.md

727 B

Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

"Nataka mtu mmoja aniweke mimi huru from utawala wa kile ambacho mwili wangu hutamani" (UDB).

shukrani na ziwe kwa Mungu kwa Yesu Kristo Bwana wetu

Hili ni jibu la swali katika 7:24

Hivyo basi, kwa upande mwingine mimi mwenyewe natumikia sheria ya Mungu kwa akili zangu. Hata hivyo, kwa upande mwingine, kwa mwili mimi natumikia kanuni ya dhambi

Akili na mwili vimetumika hapa kuonesha jinsi vinavyoshabihiana aidha kwa kutumikia sheria ya Mungu au kanuni ya dhambi. Kwa akili na ufahamu mtu anaweza kuchagua kumpendeza na kumtii Mungu na kwa mwili au asili ya mwili kuitumikia dhambi. "Akili yangu inachagua kumpendeza Mungu, lakini mwili wangu huchagua kuitii dhambi."