sw_tn/rom/06/22.md

703 B

Lakini kwa sasa umekwisha fanywa huru toka dhambi na kufanywa watumwa kwa Mungu

"Lakini sasa Kristo amekwisha waweka huru toka kwenye dhambi na amewafungamana na Mungu"

Tokeo ni uzima wa milele

"na tokeo la haya yote ni kwamba mtaishi milele pamoja na Mungu"

Kwa mshahara wa dhambi ni kifo

"Neno "mshahara" urejea kwa malipo yatolewayo kwa yeyote kwa ajili ya kazi zao. "Basi kama unatumikia dhambi, utapokea kifo cha kiroho kama malipo" au "kwa kuwa kama unaendelea kutenda dhambi, Mungu atakuhukumu na kifo cha kiroho."

lakini zawadi huru ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

'lakini Mungu kwa uhuru hutoa uzima wa milele kwa wale walio wa Kristo Yesu Bwana wetu"