sw_tn/rom/06/17.md

889 B

Lakini ashukuriwe Mungu!

"Lakini namshukuru Mungu!"

Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa dhambi

Hapa "dhambi" imeelezwa kama bwana ambapo mtumwa ataitumikia. Pia, "dhambi" urejea kwa nguvu inayoishi ndani yetu ambayo hutafanya sisi kuchagua kufanya kile kiovu. "Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa nguvu ya dhambi."

lakini mmekwisha kutii toka moyoni

Hapa neno "moyo" urejea kuwa na hisia za kweli kwa kufanya kitu. "lakini hakika mlitii".

sampuli ya mafundisho yale mlipewa

Hapa "sampuli' urejea kwa njia ya kuishi ambayo hupelekea kwa unyoofu. Wakristo hubadilisha njia zao za kuishi za zamani kufanana na njia hii mpya ya kuishi ambayo viongozi wakristo huwafundisha. "mafundisho ambayo viongozi wa kikristo waliwapa ninyi."

Mme kwisha fanywa huru toka dhambi

"Kristo amewaweka huru toka kwenye nguvu ya dhambi"

watumishi wa unyoofu

"kwa sasa umtumishi wa kufanya kilicho sahihi"