sw_tn/rom/06/15.md

1.2 KiB

Basi sasa? Tufanye dhambi kwa sababu hatuko chini ya sheria, lakini chini ya neema? La hasha

Paulo anatumia swali kusisitiza kwamba kuishi chini ya neema siyo sababu ya kutenda dhambi. "Hata hivyo, kwa sababu tumefungamana na neema badala ya Sheria ya Musa hakika haimaanishi tunarusiwa kufanya dhambi."

La hasha

"Hatutapenda kuona hicho kufanyika!" au "Mungu na anisaidie nisifanye hivyo!" Usemi huu uonyesha hamu mno ya nguvu kwamba hii haifanyiki. Unaweza kuhitaji kuwa na usemi kama huo katika lugha yako kwamba ungetumia hapa.

Hamjui kuwa kwake yeye mnaojitoa kama watumwa kwamba ni kwa yeye mnakuwa watumwa, ni yeye mnapaswa kumtii.

Paulo anatumia swali kumkaripia yeyote atakaye fikiri neema ya Mungu ni sababu ya kuendelea kutenda dhambi. "Mnapaswa kujua kwamba nyie ni watumwa kwa bwana mliyemchagua kumtii."

Hii ni kweli hata kama ni watumwa kwa dhambi ambayo hupelekea mauti, au watumwa wa utiifu ambayo hupelekea haki

Hapa "dhambi" na "utiifu' yameelezwa kama mabwana ambapo mtumwa atatumikia. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi mpya. "Nyie sio watumwa wa dhambi, ambayo huleteleza kifo cha kiroho, au watumwa wa utiifu, ambayo husababisha Mungu awatangaze wanyofu.