sw_tn/rom/06/06.md

24 lines
1.0 KiB
Markdown

# utu wa zamani ulisulubishwa pamoja naye
Hapa, Paulo arejea kwa mkristo kama mtu mmoja kabla hawajamwamini Yesu na mtu tofauti baada ya kumwamini Yesu. "Utu wa zamani" urejea kwa mtu kabla hajamwamini Yesu. Mtu huu ni mfu kiroho na dhambi umtawala. Paulo aelezea utu wetu wa zamani wa dhambi kama kufa pale msalabani pamoja na Yesu pindi tunapo mwamini Yesu. "utu wetu wa dhambi ulikuwa pale msalabani pamoja na Yesu."
# utu wa zamani
Hii ina maanisha hapo awali mtu alikuwa lakina kwa sasa si hivyo. "mtu wa nyuma".
# mwili wa dhambi
mwanadamu kamili wa dhambi
# ili kuharibiwa
"ili afe"
# hatutakuwa tena watumwa wa dhambi
Paulo analinganisha nguvu ya dhambi kuwa juu ya mtu kumiliki uongozi wa mtumwa: mtu asiye na Roho Mtakatifu mara nyingi huchagua kile kiovu. Hayuko huru kufanya yale yanayompendeza Mungu. "tusiwe watumwa tena wa dhambi" au "tusichague kufanya kile kilicho dhambi."
# Yeye aliyekwisha kufa ametangazwa kuwa ana haki kulingana na dhambi
"Mungu atamtangaza haki yeyote yule aliyekufa kwa nguvu ya dhambi"