sw_tn/rom/06/04.md

941 B

Tulikuwa tumezikwa, basi, pamoja naye kupitia ubatizo katika kifo

Hii inalinganisha ubatizo wa mkristo katika maji pamoja na kifo cha Yesu na kuzikwa katika kaburi. Hii inasisitiza kwamba mkristo katika Kristo anagawana faida katika kifo chake, ikimaanisha dhambi haina nguvu tena juu ya mkristo.

kama vile Kristo alikuwa ameinuliwa toka mauti kupitia utukufu wa Baba, ili kwamba tuweze kutembea katika upya wa maisha.

Hii umlinganisha mkristo anakuja kwa maisha ya kiroho kwa Yesu na kurudi katika maisha ya kimwili. Maisha mapya ya kiroho humwezesha mtu kumtii Mungu. Tofasiri mbandala, "kama vile Baba alivyomleta Yesu katika uhai baada ya kufa, tuwe na maisha ya kiroho mapya na kumtii Mungu"

kuunganika pamoja naye katika kufanana kwa kifo chake...muunganike katika ufufuo wake.

"muungane pamoja naye katika kifo chake...muungane pamoja naye katika uhai baada ya kifo." "kufa pamoja naye...kurejee kwa uhai pamoja naye."