sw_tn/rom/05/08.md

445 B

thibitisha

"huonyesha"

sisi...sisi

Yote yanayotokea kwa "sisi" na "sisi" urejea kwa wakristo wote na inapaswa kuhusishwa.

Zaidi ya yote, basi, sasa tumethibitishwa kwa damu yake

"Je si zaidi yeye atafanya kwetu kwa ajili yetu sasa kwamba tumelithibitishwa kwa damu yake"

kuokolewa

Hapa inamaanisha kwamba kupitia kifo cha Yesu pale msalabani, Mungu amekwisha kumsaheme na kumuokoa kwa adhabu ya jehanamu kwa ajili ya dhambi zake.