sw_tn/rom/04/13.md

747 B

kwamba ahadi ilitolewa kwa Ibrahimu na wazawa wake, ahadi hii kwamba wangekuwa warithi wa Dunia

Kwamba Mungu aliahidi Ibrahimu na kizazi chake kwamba wangeweza kurithi dunia

Badala yake, ilikuwa kupitia haki wa imani

Maneno "Mungu hutoa ahadi" wanaachwa nje ya msemo huu lakini wao wanaelewa. AT "lakini Mungu alimpa ahadi kwa imani ambayo yeye aliiona kuwa ni haki."

kama wote wafuatao sheria ndio warithi

'Ikiwa ni wale ambao wanatii sheria ambayo kwamba watarithi nchi'

imani ilifanywa tupu, na ahadi ilifutwa

"Imani haina thamani na ahadi ni maana'

lakini ambapo hakuna sheria, haiwezekani kuivunja

"Lakini ambapo hakuna sheria, hakuna kitu chochote cha kuasi" au "kwa sababu kuna kitu kwa watu huasi tu ambapo kuna sheria"