sw_tn/rom/03/21.md

853 B

Sentensi unganishi

neno "lakini" hapa linaonyesha Paulo amekamilisha utangulizi wake na sasa anaanza kufanya hatua yake kuu.

sasa

Neno 'sasa' linahusu wakati tangu Yesu alipokuja duniani.

pasipo sheria haki ya Mungu ilipatikana kujulikana

"Mungu amefanya kujulisha njia ya kuwa mwema bila kutii sheria"

Ilikuwa kushuhudiwa kwa sheria na manabii

Maneno "sheria na manabii" rejea sehemu ya andiko kwamba Musa na manabii waliandika na kusimama kwa maandiko ya Wayahudi, ambayo yameelezewa hapa kama watu ambao hutoa ushahidi mahakamani. AT "na yale ambayo Musa na manabii waliandika kuthibitisha hili."

yaani, haki ya Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo

"Ninamaanisha kwa haki ambayo Mungu anatupa wakati tunaamini katika Yesu Kristo"

Kwa maana hakuna tofauti

"Kwa kuwa Mungu huwaona Wayahudi kwa njia hiyo hiyo huwaona Mataifa"