sw_tn/rom/03/09.md

487 B

Kuunganisha maelezo

Paulo anajumuisha kwamba wote wana hatia ya dhambi, hakuna walio wema, na hakuna wa kumtafuta Mungu.

Nini basi? Je, sisi kuwatetea wenyewe?

Maana inawezekana ni 1) 'Sisi Wayahudi hawapaswi kujaribu kufikiria kwenda kuepuka hukumu ya Mungu, kwa sababu tu sisi ni Wayahudi!" (UDB) au 2) "Sisi Wakristo hatujaribu kuficha mambo maovu kwamba tunafanya!'

Hapana kabisa

Maneno haya ni yenye nguvu zaidi kuliko rahisi 'hapana,' lakini si lenye nguvu "hakika si!"