sw_tn/rom/02/21.md

823 B

Wewe, pia, unayefundisha watu, haujifunzi mwenyewe?

Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Lakini haujifunzi wenyewe wakati unawafundisha wengine!"

Wewe unayehubiri mtu asiibe, je unaiba?

Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Unawaambia watu wasiibe, lakini wewe unaiba!"

Wewe unayehubiri mtu asizini, je unazini?

Paulo alitumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. "Unawaambia watu wasizi, lakini wewe unazini!"

Nyie mnaochukia sanamu, je mnaiba mahekalu?

Paulo anatumia swali kuwakemea wasikilizaji wake. Mnasema mnachukia sanamu, lakini mnaiba mahekalu!"

Mnaiba mahekalu

Inaweza kuwa na maana 1) "kuiba vitu toka kwenye mahekalu ya wapagani kuviuza na kupata faida" au 2) "msipeleke kwenye hekalu la Yerusalemu pesa zote ambazo ni za Mungu" au 3) "kufanya mzaha kuhusu miungu."