sw_tn/rom/02/03.md

834 B

Lakini

"kwa hiyo"

Fikiria hili.

"fikiria kuhusu hili ninalokwenda kukwambia"

Mtu

Tumia neno la jumla kwa binadamu.

Wewe unayewahukumu wanaofanya mambo hayo japokuwa na wewe unafanya vivyo hivyo.

"Wewe unayesema mtu anastahili adhabu ya Mungu wakati unafanya mambo maovu"

Je utaepuka hukumu ya Mungu?

"hautaepuka hukumu ya Mungu!"

Au unadharau utajiri wa wema wake, na hukumu yake iliyochelewa, na uvumilivu... tubu?

"Unajifanya kama hujali kwamba Mungu nimwema na ni mvumilivu akisubiria muda mrefu kabla ya kuwahukumu watu, kwa hiyo wema wake utasababisha watu watubu."

Unadharau utajiri wake... uvumilivu

"fikiria utajiri... uvumilivu sio muhimu" au "fikiria... sio vizuri"

HaUjui kuwa wema wake una maana ya kukusababisha utubu?

"Unatakiwa ufahamu kuwa Mungu anakuonyesha kuwa ni mwema hivyo utubu."