sw_tn/rom/01/16.md

1.0 KiB

Siionei haya injili

"Nina ujasiri ninapoongea kuhusu injili, japokuwa watu wengi wanakataa"

Kwa kuwa siionei haya

Paulo anaelezea kwa nini anataka kuhubiri injili Roma.

Kwa kuwa ndani yake

Hii inaelezea injili. Paulo anaelezea kwa nini anahubiri injili kwa ujasiri.

Ni nguvu ya Mungu ya wokovu kwa kila mtu anayeamini

"Ni kupitia injili nguvu ya Mungu inawaokoa wanaomwamini Kristo"

Kwa Wayahudi kwanza na kwa Wagiriki

"kwa watu wa Kiyahudi na watu wa Kigiriki"

Kwanza

Hii inaweza kuwa na maana kuwa 1) "ya kwanza kwa sababu ya mda" au 2) "ya muhumu sana"

Haki ya Mungu inadhihirishwa toka imani mpaka imani

"Mungu amedhihirisha kuwa ni kwa imani toka mwanzo mpaka mwisho watu wanakuwa na haki" "Mungu amedhihirisha haki yake kwa wale walio na imani, na matokeo yake wanaimani zaidi" au "kwa sababu Mungu ni mwaminifu, amedhihirisha haki yake, na matokeo yake watu wamekuwa na imani zaidi"

Mwenye haki ataishi kwa imani

"Ni watu wanaomwamini Mungu ndio anaowaona wenye haki, na wataishi milele"