sw_tn/rom/01/04.md

913 B

Maelezo yanayounganisha:

Paulo anazungumza kuhusu majukumu yake katika kuhubiri.

Alithibitishwa kuwa mwana wa Mungu.

Neno "yeye" linamaanisha Yesu. "Mungu alimthibitisha yeye kuwa mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Ufufuo wa Yesu unathibitisha kuwa alikuwa na ndiye "mwana wa Mungu." Hiki ni cheo cha muhimu sana cha Yesu.

Roho ya utakatifu

Hii inmaanisha roho mtakatifu.

kwa ufufuo wa wafu

"kwa kuleta tena kwenye uhai baada ya kufa"

Tumepokea neema na utume

"Alinichagua mimikuwa mtume" au "Mungu alinipa zawadi ya neema ya kuwa mtume." "Mungu kwa neema yake alinipa zawadi"

Sisi

Hapa neno "sisi" linamaanisha Paulo na mitume 12 waliomfuata Yesu lakini ukiwatoa waamini katika kanisa la Roma.

kwa kutii imani kati ya mataifa yote, kwa ajili ya jina lake.

Paulo anatumia neno "jina" akiwa anamzungumzia Yesu. "kwa ajili yakuwafundisha mataifa yote kutii kwa sababu ya imani yao kwake"